Katika sehemu ambayo Vanessa Mdee ameshalikita jina lake vyema nje ya Tanzania, basi ni Nigeria.
Vee ambaye alitengeneza pair iliyovuma zaidi kwenye Coke Studio Afrika mwaka jana na 2 Face, hakuwa mchoyo wa fadhila kumshukuru muimbaji huyo kwa nafasi aliyompa.
“This picture describes everything I was feeling last night,” ameandika Vanessa kwenye picha akiwa na 2 Face jukwaani aliyoiweka Instagram.
“I thankyou @official2baba for constantly inspiring and elevating youngns like myself. I’m humbled and eternally gratefully.”
2 Face amewahi kukaririwa akimtaja Vanessa kuwa ni mmoja wa waimbaji anaowakubali Afrika.
0 comments:
Post a Comment