Tuesday, April 25, 2017

Kamanda Sirro Afafanua Upelelezi Katika Uvamizi Wa Mkutano Wa CUF


Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro amezungumzia vurugu zilizotokea hivi karibuni katika mkutano uliotakiwa kufanyike na maeneo ya Mabibo na Chama cha wananchi CUF. Kamanda huyo amesema kuwa suala hilo na wale waliojeruhiwa upelelezi utasema kama hao watu ndiyo waliokuja kuvamia au la.
Share:

Saturday, April 15, 2017

HAPPY EASTER; REACH OUT TO YOUR POTENTIAL

When you look at the sea waves, you see two different kinds of waves. Some waves tend to meet and cuddle to make a much bigger wave. Other waves meet vigorously and crumble, destroying themselves. What do we learn from that?

In life, people may cuddle or crumble. You may have friends who support you, and others may destruct you from using your potentials ending up destroying yourself. There are also others who may use your potential to benefit themselves.

Potential is something in a person that is yet to be done. It is that ability in a person that is yet to be shown to the world. Don’t be so proud of what you have already done for it is not your potential and if you do so you will be blinded and not be able to see what is still there to be done.

You are not there yet, so keep up the struggle and always seek to identify your potential. People are sometimes important in discovering your potential but you should not rely on them since the only one who knows your full potential is the one who created you. Grow spiritually!

We should all learn to live our lives to the fullest that is when we will realize the actual happiness that lies in it.
Learn to cuddle with people, and if it happens you did crumble… don’t lose it but look upon the rest of your friends you did cuddle with.

Today’s Youth wishes each one of you Happy Easter. Celebrate it with a heart filled with full of love and peace. Have a blessed one!


Thank You!
Share:

Friday, April 14, 2017

Polisi 7 Wauawa Katika Shambulio La Kutisha Pwani

Polisi takriban saba wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi huko Mkuranga mkoani Pwani.

Taarifa za awali zimedai kuwa polisi hao walikuwa wakijianda kutoka doria ya barabarani na kurudi kituoni. Vyanzo vimedai kuwa majambazi hayo yalilishambulia gari walimokuwa kwa kumpiga risasi dereva na gari kupinduka kabla ya kuwamiminia risasi polisi sita na kuwaua pale pale.
Bunduki walizokuwa nazo aina ya SMG zimeporwa. Taarifa zingine zimedai kuwa mauaji hayo yamefanywa na mtu mmoja aliyekuwa na silaha nzito.
Share:

Maamuzi Ya Kamati Ya Saa 72 Kuhusu Rufaa Ya Simba Kwa Kagera














Kamati ya saa 72 iliyokaa kikao leo April 13 na kuamua kuhusu malalamiko ya Simba kwaKagera Sugar kuhusu kumtumia mchezaji Mohamed Fakhi katika mchezo dhidi yao April 2 2017 akiwa na kadi tatu za njano kinyume na taratibu na kanuni za Ligi.

Simba walipeleka malalamiko hayo katika bodi ya Ligi na kuomba ipitie ripoti za waamuzi ili kujulikana ukweli, leo April 13 kamati ya saa 72 chini ya mwenyekiti wake Hamadi Yahayailikaa na kujiridhisha kuwa Kagera walikiuka taratibu hizo kwa mujibu wa Kanuni Simbawamepewa point zote tatu za mchezo dhidi yao.

Kamati imejiridhisha kuwa mchezaji Mohamed Fakhi alioneshwa kadi za njano katika mchezo dhidi ya Majimaji, Mbeya City na African Lyon, hivyo hakustahili kucheza katika mchezo dhidi ya Simba uliyochezwa April 2 2017 uwanja wa Kaitaba na Simba ikapoteza kwa magoli 2-1.


Share:

Nuh Mziwanda–Last Born Records Ni Urithi Nitakaouacha Hata Kwa Vizazi Vijavyo

Nuh Mziwanda amesema label yake, Last Born records si kwaajili yake pekee. Amesema hata siku akiwa ametoweka duniani, itaendelea kuwepo na ndio maana anaendelea kukusanya jeshi.


“Nataka nikizeeka au nikiwa sipo duniani basi niwe nimeacha watu wa kunikumbuka au vitu ambavyo vitakuwa kwenye historia ya maisha yangu, that’s why hivi sasa kwenye studio yangu Last Born records Nina wasanii wawili wapya kabisa ambao ntawatambulisha baada ya miezi miwili au mitatu ijayo,” amesema muimbaji huyo.
“Mmoja anaitwa Chichi Chadala, huyu yeye anaimba muziki wa kurap na mwingine anaitwa Computer, huyu yeye anaimba na huyu computer ndiye kaandika wimbo wangu wa Anameremeta, “ Mziwanda alikiambia kipindi cha VMix cha Channel 10.
Share:

Rais Magufuli Amempigia Simu Mwana FA


Jioni ya April 12 2017 staa wa muziki wa hip hop bongo Hamisi Mwinjuma ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la Mwana FA, alitoa taarifa kupitia ukurasa wake wa twitter kuoneshwa kufurahisha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kumpigia simu.
Mwana FA ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika radio na tv stations mbambali kwa hit single yake ya Dume Suruali amethibitisha kupigiwa simu na Rais kumwambi anakubali kazi zake.

Kupitia ukurasa rasmi wa twitter wa staa huyo uliyokuwa verified aliandika “nimefurahi kupokea simu ya Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye ni mpenzi wa kazi zangu,haswa #DumeSuruali..”
Share:

Wednesday, April 12, 2017

Tuesday, April 11, 2017

MICHEZO BAD NEWS: RFEF imemfungia Neymar leo April 11 2017

Staa wa soka wa kimataifa wa Brazil anayeichezea FC Barcelona ya Hispania Neymar amekutana na adhabu ya kufungiwa mechi 3 kuichezea FC Barcelona na shirikisho la soka Hispania ( Royal Spanish Football Federation (RFEF) kwa makosa mawili.
Neymar amefungiwa mechi tatu, mechi moja ni kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano wakati wa mchezo dhidi ya Malaga uliyomalizika kwa FC Barcelona kupoteza kwa magoli mawili kwa 2-0 lakini mechi ya mbili kwa kosa la kumpongeza kwa kejeli fourth official wakati anatoka nje ya uwanja.
Neymar alipooneshwa kadi ya pili ya njano
Mchezaji huyo raia wa Brazil alitoa lugha za kejeli kwa fourth official wakati anatoka uwanjani kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano, refa wa game hiyo Jesus Gil Manzano ndio aliandika ripoti hiyo, Neymar sasa atakosa mchezo dhidi ya Real SociedadReal Madrid naOsasuna.
Share:

“Demu” Wa Ronaldo Aondolewa Kazini Kwa Sababu Ya Bwana Ake.


Kimwana wa Cristiano Ronaldo imemlazimu kuachana na kazi yake ambapo alikuwa ni meneja mauzo katika kampuni ya Prada.
Georgina Rodriguez ambaye alikuwa anapokea kiasi kinachokaribia paundi £1,370 kwa mwezi kwa kamisheni pekee kila mwezi ameamua kuondoka kwenye kiti chake hizo kutokana na rundo la waandishi wanaofika hapo kila mara jijini Madrid wakiajribu kukutana naye na kusaka taarifa mbalimbali
Ripoti iliyotolewa na jarida la El Mundo linasema kuwa hali ilikuwa mbaya na ambayo haikuwa na faida kwa baadae na kibiashara kutokana na suala hilo kuwa nje ya uwezo
Baadhi wa waandishi walifikia hatua ya kujifanya wateja ili tu wapate taarifa za Rodriguez ambazo wangeweza kuziandika ama kuziripoti.
Baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili na mabosi wake, binti huyo mwenye umri wa miaka 22 ilimbidi kuachia nafasi yake.
Na kazi ya Prada haikuwa ya kwanza kwenye suala la mitindo ambalo Rodriguez amejikita ambayo kapoteza kwani kutokana na mahusiano yake na Cristiano Ronaldo ilibidi aache kazi kwenye kampuni ya Gucci.
Aliondolewa na uongozi wa Gucci mwisho wa mwezi November, huku mabosi wakihofia kuwa wingi na uwepo wa waandishi kila mara ungeathiri mahusiano yao na wadau wao na wahisani.
Share:

Risk of Death from Starvation Grows in Africa



United Nations and international aid agencies warn the chances are growing for mass deaths from starvation in the Horn of Africa, Yemen, Nigeria, and South Sudan. Lack of money is pushing the humanitarian crisis ever closer.
FILE - Acutely malnourished child, Sacdiyo Mohamed, 9 months old, is treated at the Banadir Hospital after her mother fled the drought in southern Somalia and traveled by car to the capital Mogadishu, March 11, 2017.

Aid agencies are haunted by the specter of the 2011 famine in the Horn of Africa, which killed more than 260,000 people, half of them children under age five. They do not want a repeat of that tragedy, but say they fear the severity of the current humanitarian crisis gripping Yemen, the Horn of Africa and neighboring countries could result in an even worse outcome.
The U.N. refugee agency reports hunger and conflict are forcing increasing numbers of people to flee within their countries and across borders in search of food and refuge. UNHCR spokesman Adrian Edwards says refugee numbers are escalating.
FILE - In this photo taken Feb. 25, 2017, displaced Somali girls who fled the drought in southern Somalia stand in a queue to receive food handouts at a feeding center in a camp in Mogadishu, Somalia.

“Consecutive harvests have failed, conflict in South Sudan coupled with drought is leading to famine and outflows of refugees, insecurity in Somalia is leading to rising internal displacement, and rates of malnutrition are high, especially among children and lactating mothers,” he said.

Edwards says in the Dollo Ado area of southeast Ethiopia, acute malnutrition rates among very young newly arriving Somali refugee children are running between 50 and nearly 80 percent.
Aid agencies have been scaling up their humanitarian operations in northeastern Nigeria, South Sudan, Somalia and Yemen, where more than 20 million people are experiencing famine or are on the brink of famine.
FILE - Somalis displaced by the drought, arrive at makeshift camps in the Tabelaha area on the outskirts of Mogadishu, Somalia, March 30, 2017.
But Edwards tells VOA the efforts may be doomed to failure, he warns problems will reach catastrophic levels unless funds are received.

“What we are looking at is the need for funding across the international community," he said. "This is really is an absolutely critical situation that is rapidly unfolding across a large swathe of Africa from west to east. It does need urgent addressing from a really concerted international action.”
Earlier this year, the United Nations launched an appeal for $4.4 billion to provide life saving assistance in the four famine-affected countries. As of now, only 21 percent of that amount has been received, far from enough to avert a humanitarian catastrophe.
Share:

Mogae: 'Some Africans leaders spoil their record by overstaying'

Several African leaders have refused to step down after finishing their terms. At a conference in Marrakesh, DW caught up with the former president of Botswana, Festus Mogae, and asked him for his views on this topic.
Uganda's President Yoweri Museveni (L), Joseph Kabila of DRC (C) and Rwanda's Paul Kagame (R) have been in power for a combined total of 66 years.
Share:

Monday, April 10, 2017

Maneno 38 Mbunge Halima Mdee ameandika kuhusu Askofu Gwajima


Baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dr. Josephat Gwajima leo April 9, 2017 kumtaka Halima Mdee Mbunge wa CHADEMA kumuomba radhi Spika wa Bunge Job Ndugai kwa maelezo kuwa alimtukana, jioni hii kupitia Twitter ya Mbunge huyo ameandika kuhusu kinachoendelea kati yake na Spika Ndugai.
Mdee ameandika 

'Namuheshimu sana Mch. Gwajima,sitajibizana nae kwenye mitandao. Niweke rekodi sawa sijamtukana na wala sitarajii kumkosea heshima Spika.'

Hayo ya J2 namwachia yeye! Yangu na yaliyojiri Bungeni.. Najua jinsi ya kuyahandle. Yawezekana yalishamalizwa kabla ya Ibada yake LEO.


Share:

‘Bunge liahirishwe leo tujadili kuhusu wanaoteka watu’ – Hussein Bashe

Kutoka Bungeni DODOMA, leo April 10, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe amesimama kuomba muongozo kwa Spika wa Bunge akitaka Bunge lisimamishe shughuli za kawaida na kuanza kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea nchini.
Bashe amesema yeye pia ameshatumiwa ujumbe wa vitisho wakimwambia kuna watu 11 akiwemo yeye watafanyiwa vitendo vibaya popote watakapokuwa, hivyo analiomba Bunge lijadili suala hilo kwa dharula kwasababu sio sawa kukaa kimya.
’Kuna watu wamenitumia jumbe za kuniambia kwamba mimi ni kati ya watu 11 ambao tupo hatarini kufanyiwa vitu vibaya na popote pale nijiangalie ninapokuwa barabarani'
Hatuwezi kulifumbia macho jambo hili, watanzania wanatekwa na watu wasiojulikana' –Hussein Bashe
Share:

Sunday, April 9, 2017

Friday, April 7, 2017

Thursday, April 6, 2017

Linah Ft. Gnako – Mfupi

Msanii Linah ameachia wimbo unaitwa “Mfupi”, akiwa amemshirikisha G Nako. Huu wimbo umendikwa na msanii anaitwa Mr Kesho ambaye anafanya vizuri saivi na ngoma yake inaitwa ‘Nangoja’. Producer Taz Gaemi.
Share:

Tuesday, April 4, 2017

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.