Home » Artists
Showing posts with label Artists. Show all posts
Showing posts with label Artists. Show all posts
Tuesday, September 5, 2017
Sunday, September 3, 2017
New Music Alert:T GWAN_Kuachia Ngoma Mbili (Double Release) TWISTED & UKECHENE Download Now
Kwa Majina Ni Togama Chanika, stage name ni T GWAN, msanii wa Hip Hop Anayewakilisha vyema MAKAMBAKO.
Friday, August 18, 2017
Povu la Idriss Sultan Kwa Wasichana Wanaopiga Picha za Uchi na Kujiita Models
"Respect our models, sio kila mdada aliye kaa kaa uchi tu anaitwa model .. Flaviana is a model, Herieth
Saturday, August 5, 2017
New Music Alert: Njovu Bin Hip-Hop_PARAMIA
Boniphace Raymond Njovu an upcoming artist going by the
Stage Name Njovu Bin Hip-hop Finally
Drops a new Trap song PARAMIA Featuring Nolly
Music & Pablo Pong.
Thursday, July 20, 2017
WCB kudondosha ‘Dude’ la pamoja
Hadi sasa label ya WCB ina wasanii sita, yaani Diamond, Harmonize, Rich Mavoko, Lavalava, Rayvanny na Queen Darleen na wote wanafanya vizuri, vipi wakali hawa wote wakikutana katika ngoma moja?
Tuesday, July 18, 2017
R Kelly atuhumiwa kwa ''kuwanyanyasa kingono wanawake''
Mwanamuziki wa mtindo wa R&B R Kelly amekana madai kwamba anawazuia wanawake kadhaa katika dhehebu lake analotumia kuwanyanyasa
Tuesday, April 25, 2017
‘Mazoea’ Imeniingizia Hela Kuliko Nyimbo Zangu Zote – Billnass
Diamond ataja sababu ya kumshirikisha Young Killer
Ni mara nyingi hitmaker huyo wa Marry You, ameonekana kushindwa
kuzizuia hisia zake za kumkubali Msodoki huku mara kadhaa akionekana
kutumia mistari ya rapper huyo katika kuandika katika mitandao yake ya
kijamii.
Friday, April 14, 2017
Raymond Afurahia Alikiba Kuuzimikia Wimbo Wa Kwetu
Alikiba alijikusanyia pointi tatu mapema wiki hii kutoka upande wa hasimu wake Diamond baada ya kuonekana akiimba wimbo wa Raymond ‘Kwetu’.
Akiongea na kipindi cha Dj Show cha Radio One, kitendo hicho kimeonyesha kumfurahisha kinda huyo
Nuh Mziwanda–Last Born Records Ni Urithi Nitakaouacha Hata Kwa Vizazi Vijavyo
Nuh Mziwanda amesema label yake, Last Born records si kwaajili yake pekee. Amesema hata siku akiwa ametoweka duniani, itaendelea kuwepo na ndio maana anaendelea kukusanya jeshi.
“Nataka nikizeeka au nikiwa sipo duniani basi niwe nimeacha watu wa kunikumbuka au vitu ambavyo vitakuwa kwenye historia ya maisha yangu, that’s why hivi sasa kwenye studio yangu Last Born records Nina wasanii wawili wapya kabisa ambao ntawatambulisha baada ya miezi miwili au mitatu ijayo,” amesema muimbaji huyo.
“Mmoja anaitwa Chichi Chadala, huyu yeye anaimba muziki wa kurap na mwingine anaitwa Computer, huyu yeye anaimba na huyu computer ndiye kaandika wimbo wangu wa Anameremeta, “ Mziwanda alikiambia kipindi cha VMix cha Channel 10.
Rais Magufuli Amempigia Simu Mwana FA

Jioni
ya April 12 2017 staa wa muziki wa hip hop bongo Hamisi
Mwinjuma ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la Mwana
FA, alitoa taarifa kupitia ukurasa wake wa twitter kuoneshwa
kufurahisha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John
Pombe Magufuli kumpigia
simu.
Mwana
FA ambaye kwa sasa
anafanya vizuri katika radio na tv stations mbambali kwa hit single yake ya Dume Suruali amethibitisha
kupigiwa simu na Rais kumwambi anakubali kazi zake.
Kupitia ukurasa rasmi wa twitter wa
staa huyo uliyokuwa verified aliandika “nimefurahi kupokea simu ya
Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye
ni mpenzi wa kazi zangu,haswa #DumeSuruali..”
Ndoa ya Lulu na Majay Yanukia
Elizabeth Michael (Lulu) amedai ndoa yake na mpenzi wake Dj Majay inakaribia.
Muigizaji huyo ambaye ameonekana kutulia sana tangu alipokuwa na mahusiano na bosi huyo wa EFM
Tuesday, April 11, 2017
Thursday, April 6, 2017
Linah Ft. Gnako – Mfupi
Msanii Linah ameachia wimbo unaitwa “Mfupi”, akiwa amemshirikisha G Nako. Huu wimbo umendikwa na msanii anaitwa Mr Kesho ambaye anafanya vizuri saivi na ngoma yake inaitwa ‘Nangoja’. Producer Taz Gaemi.
Davido ndiye aliyesisitiza tufanye video muda huu – Joh Makini
Joh Makini amesema ni Davido ndiye aliyemsisitizia Joh Makini wafanye video ya collabo yao muda huu
“Actually yeye ndiye alinicheki mimi kwa it’s a time ya kufanya hii ngoma,” Joh alimuambia mtangazaji wa Jembe FM, JJ.
Site Users
Popular Posts
Topics
News
(108)
Artists
(83)
Local
(45)
Views
(41)
Music
(38)
International
(36)
Relationships
(34)
Universities
(28)
Sports
(25)
Sports Stars
(25)
Business
(14)
Life Style
(14)
Actors
(10)
OFFclass
(10)
Entrepreneur
(9)
Events
(9)
Health
(9)
Hustles
(9)
Who Hit A Lottery?
(7)
Fashion
(4)
High Schools
(4)
Movies/TV Series
(4)
Talent
(3)
Education
(1)
Tech
(1)
Archive
-
▼
2017
(182)
- November 2017 (2)
- September 2017 (20)
- August 2017 (46)
- July 2017 (6)
- June 2017 (2)
- May 2017 (1)
- April 2017 (45)
- March 2017 (51)
- February 2017 (8)
- January 2017 (1)
-
►
2016
(94)
- December 2016 (1)
- November 2016 (3)
- October 2016 (22)
- September 2016 (68)


























