Showing posts with label Sports. Show all posts
Showing posts with label Sports. Show all posts

Monday, September 25, 2017

Friday, August 18, 2017

Wednesday, August 16, 2017

Tuesday, August 15, 2017

Monday, August 14, 2017

Friday, April 14, 2017

Maamuzi Ya Kamati Ya Saa 72 Kuhusu Rufaa Ya Simba Kwa Kagera














Kamati ya saa 72 iliyokaa kikao leo April 13 na kuamua kuhusu malalamiko ya Simba kwaKagera Sugar kuhusu kumtumia mchezaji Mohamed Fakhi katika mchezo dhidi yao April 2 2017 akiwa na kadi tatu za njano kinyume na taratibu na kanuni za Ligi.

Simba walipeleka malalamiko hayo katika bodi ya Ligi na kuomba ipitie ripoti za waamuzi ili kujulikana ukweli, leo April 13 kamati ya saa 72 chini ya mwenyekiti wake Hamadi Yahayailikaa na kujiridhisha kuwa Kagera walikiuka taratibu hizo kwa mujibu wa Kanuni Simbawamepewa point zote tatu za mchezo dhidi yao.

Kamati imejiridhisha kuwa mchezaji Mohamed Fakhi alioneshwa kadi za njano katika mchezo dhidi ya Majimaji, Mbeya City na African Lyon, hivyo hakustahili kucheza katika mchezo dhidi ya Simba uliyochezwa April 2 2017 uwanja wa Kaitaba na Simba ikapoteza kwa magoli 2-1.


Share:

Tuesday, April 11, 2017

MICHEZO BAD NEWS: RFEF imemfungia Neymar leo April 11 2017

Staa wa soka wa kimataifa wa Brazil anayeichezea FC Barcelona ya Hispania Neymar amekutana na adhabu ya kufungiwa mechi 3 kuichezea FC Barcelona na shirikisho la soka Hispania ( Royal Spanish Football Federation (RFEF) kwa makosa mawili.
Neymar amefungiwa mechi tatu, mechi moja ni kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano wakati wa mchezo dhidi ya Malaga uliyomalizika kwa FC Barcelona kupoteza kwa magoli mawili kwa 2-0 lakini mechi ya mbili kwa kosa la kumpongeza kwa kejeli fourth official wakati anatoka nje ya uwanja.
Neymar alipooneshwa kadi ya pili ya njano
Mchezaji huyo raia wa Brazil alitoa lugha za kejeli kwa fourth official wakati anatoka uwanjani kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano, refa wa game hiyo Jesus Gil Manzano ndio aliandika ripoti hiyo, Neymar sasa atakosa mchezo dhidi ya Real SociedadReal Madrid naOsasuna.
Share:

“Demu” Wa Ronaldo Aondolewa Kazini Kwa Sababu Ya Bwana Ake.


Kimwana wa Cristiano Ronaldo imemlazimu kuachana na kazi yake ambapo alikuwa ni meneja mauzo katika kampuni ya Prada.
Georgina Rodriguez ambaye alikuwa anapokea kiasi kinachokaribia paundi £1,370 kwa mwezi kwa kamisheni pekee kila mwezi ameamua kuondoka kwenye kiti chake hizo kutokana na rundo la waandishi wanaofika hapo kila mara jijini Madrid wakiajribu kukutana naye na kusaka taarifa mbalimbali
Ripoti iliyotolewa na jarida la El Mundo linasema kuwa hali ilikuwa mbaya na ambayo haikuwa na faida kwa baadae na kibiashara kutokana na suala hilo kuwa nje ya uwezo
Baadhi wa waandishi walifikia hatua ya kujifanya wateja ili tu wapate taarifa za Rodriguez ambazo wangeweza kuziandika ama kuziripoti.
Baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili na mabosi wake, binti huyo mwenye umri wa miaka 22 ilimbidi kuachia nafasi yake.
Na kazi ya Prada haikuwa ya kwanza kwenye suala la mitindo ambalo Rodriguez amejikita ambayo kapoteza kwani kutokana na mahusiano yake na Cristiano Ronaldo ilibidi aache kazi kwenye kampuni ya Gucci.
Aliondolewa na uongozi wa Gucci mwisho wa mwezi November, huku mabosi wakihofia kuwa wingi na uwepo wa waandishi kila mara ungeathiri mahusiano yao na wadau wao na wahisani.
Share:

Monday, April 10, 2017

Thursday, April 6, 2017

Monday, April 3, 2017

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.