Home » International
Showing posts with label International. Show all posts
Showing posts with label International. Show all posts
Monday, September 25, 2017
Tuesday, August 22, 2017
Emma Stone mwigizaji wa kike anayelipwa pesa nyingi zaidi 2017
Emma Stone ndiye mwigizaji wa kike anayelipwa pesa nyingi zaidi miongoni mwa waigizaji duniani mwaka huu.
Wanaume 4 washtakiwa kwa kula nyama ya binadamu Afrika Kusini
Wanaume wanne wamefikishwa kwenye mahakama ya Afrika Kusini kujibu mashtaka
Sunday, August 20, 2017
Friday, August 18, 2017
Wednesday, August 16, 2017
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 16.08.2017
Chelsea wanajiandaa kutoa pauni milioni 50 kumsajili beki wa Tottenham Danny Rose, 27, baada ya mchezaji huyo kushutumu sera za usajili za Spurs. (Sun)
AfriCOG: Shirika la kutetea haki lavamiwa na maafisa wa serikali Kenya
Polisi na maafisa wa mamlaka ya mapato nchini Kenya (KRA) leo walifanya jaribio la kuvamia afisi za shirika moja la kutetea haki ambalo lilikuwa limefutiwa usajili Jumanne.
Watu 600 watoweka kufuatia maporomoko Sierra Leone
Takriban watu 600 wametoweka kufuatia maporomoko ya matope na mafuriko yaliofanya uharibifu mkubwa katika maeneo kadhaa ya mji mkuu wa Freetown nchini Sierra Leone kulingana na msemamji wa rais.
Tuesday, August 15, 2017
Raila Odinga kufichua madai ya wizi wa kura Kenya
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya
Raila Odinga aliyeshindwa katika uchaguzi wa urais uliopita ameliambia
gazeti la Financial Times nchini Uingereza kwamba atafichua ushahidi
siku ya Jumanne kuhusu vile alivyoibiwa kura.
''Tutauonyesha ulimwengu ulivyochezewa'' .Bwana Odinga ambaye alikuwa akiwania urais kwa mara ya nne pia alibaini kwamba hatowania tena urais na kwamba aliwataka Wakenya kujua kilichofanyika wakati wa uchaguzi huo.
''Sio swala la kuwa mbifansi, Sio swala kuhusu Raila Odinga, Sitawania urais tena......tunataka Wakenya kujua kile kilichofanyika, na kile ambacho ulimwengu haujui kinafanyika''.
Bwana Odinga amedai kwamba wadukuzi waliingilia kompyuta za tume ya Uchaguzi na kuweka hesabu ambazo zilimpatia ushindi rais Uhuru Kenyatta.
Madai hayo hatahivyo yamepuuziliwa mbali na tume ya uchaguzi.
Ronaldo apigwa marufuku ya mechi tano
Mchezaji nyota wa Real Madrid
Cristiano Ronaldo amepewa marufuku ya mechi tano baada kupewa kadi
nyekundi wakati wa mechi ya el Clasicco siku ya Jumapili.
Monday, August 14, 2017
Diego Costa asema Chelsea wanamchukulia kama 'mhalifu'
Diego Costa amesema Chelsea wamekuwa wakimchukulia kama "mhalifu" na akathibitisha kwamba bado anataka kurejea Atletico Madrid.
Neymar afunga mechi yake ya kwanza Paris St-Germain
Neymar alifunga bao mechi yake ya kwanza katika klabu yake mpya ya Paris St-Germain baada ya kununuliwa kwa rekodi ya dunia ya £200m kutokaBarcelona.
Cristiano Ronaldo apewa kadi nyekundu mechi ya El Clasico
Cristiano Ronaldo alifunga bao lakini baadaye akafukuzwa uwanjani huku Real Madrid wakilaza Barcelona 3-1 katika Super Cup ya Uhispania, mechi ya mkondo wa kwanza.
Manchester United wacharaza West Ham United 4-0
Romelu Lukaku alitangaza kuwasili kwake Old Trafford kwa kufunga mabao mawili mechi yake ya kwanza Ligi ya Premia akiwa na Manchester United na kuwasaidia kuwaaibisha West Ham Jumapili.
Kombora la tani saba lililoibiwa lalipuka kiwandani Urusi
Kombora la kutungua ndege lililokuwa limeibiwa lililipuka na kuwaua watu wawili na kumjeruhi mmoja nchini Urusi.
Semenya ashinda dhahabu mbio za 800m, Niyonsaba wa Burundi ashinda fedha
Mwanariadha wa Afrika Kusini Caster Semenya alishinda dhahabu katika mbio za 800m upande wa wanawake siku ya mwisho ya mashindano ya ubingwa wa riadha duniani jijini London.
Usain Bolt aumia na kushindwa mbio zake za mwisho mashindano ya dunia ya IAAF
Usain Bolt aliumia na kushindwa kumaliza mbio zake za mwisho za ubingwa wa dunia jijini London, na mwanariadha mwenzake Yohan Blake anasema huenda kucheleweshwa kwa mbio hizo kulimwathiri.
Jeshi la Uganda lasema halina mpango wa kuingia Kenya

Jeshi la Uganda Jeshi la Uganda la UPDF limekanusha taarifa kuwa liko tayari kuingia nchini Kenya kusaidia kudhibiti hali ya usalama nchini humo baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita.
Site Users
Popular Posts
Topics
News
(108)
Artists
(83)
Local
(45)
Views
(41)
Music
(38)
International
(36)
Relationships
(34)
Universities
(28)
Sports
(25)
Sports Stars
(25)
Business
(14)
Life Style
(14)
Actors
(10)
OFFclass
(10)
Entrepreneur
(9)
Events
(9)
Health
(9)
Hustles
(9)
Who Hit A Lottery?
(7)
Fashion
(4)
High Schools
(4)
Movies/TV Series
(4)
Talent
(3)
Education
(1)
Tech
(1)
Archive
-
▼
2017
(182)
- November 2017 (2)
- September 2017 (20)
- August 2017 (46)
- July 2017 (6)
- June 2017 (2)
- May 2017 (1)
- April 2017 (45)
- March 2017 (51)
- February 2017 (8)
- January 2017 (1)
-
►
2016
(94)
- December 2016 (1)
- November 2016 (3)
- October 2016 (22)
- September 2016 (68)

























