Showing posts with label International. Show all posts
Showing posts with label International. Show all posts

Monday, September 25, 2017

Tuesday, August 22, 2017

Sunday, August 20, 2017

Friday, August 18, 2017

Wednesday, August 16, 2017

Tuesday, August 15, 2017

Raila Odinga kufichua madai ya wizi wa kura Kenya


Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga aliyeshindwa katika uchaguzi wa urais uliopita ameliambia gazeti la Financial Times nchini Uingereza kwamba atafichua ushahidi siku ya Jumanne kuhusu vile alivyoibiwa kura.
''Tutauonyesha ulimwengu ulivyochezewa'' .
Bwana Odinga ambaye alikuwa akiwania urais kwa mara ya nne pia alibaini kwamba hatowania tena urais na kwamba aliwataka Wakenya kujua kilichofanyika wakati wa uchaguzi huo.
''Sio swala la kuwa mbifansi, Sio swala kuhusu Raila Odinga, Sitawania urais tena......tunataka Wakenya kujua kile kilichofanyika, na kile ambacho ulimwengu haujui kinafanyika''.
Bwana Odinga amedai kwamba wadukuzi waliingilia kompyuta za tume ya Uchaguzi na kuweka hesabu ambazo zilimpatia ushindi rais Uhuru Kenyatta.
Madai hayo hatahivyo yamepuuziliwa mbali na tume ya uchaguzi.
Share:

Monday, August 14, 2017

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.