Thursday, April 6, 2017

Rais Magufuli amekutana na Balozi wa Umoja wa Ulaya leo IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa EU, Roeland Van de Geer na Balozi wa Israel, Yahel Vilan.

 Hii Hapa Taarifa

Share:

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.