Monday, October 3, 2016

MTV MAMA; Hawa Ndio Chipukizi Wa Afrika, Ambao Raymond Atachuana Nao

Kijana wa WCB, Raymond amefanikiwa kutajwa kwenye tuzo za mwaka huu za MTV MAMA. Anawania kipengele cha msanii bora anayechipukia, wao wanakiita Best Breakthrough Act.



Anaonesha umwamba na chipukizi wengine wa Afrika. Wafahamu hapo chini pamoja na nyimbo zao.

Simi – Nigeria
Nathi – Afrika Kusini
Nasty C – Afrika Kusini
 
 Franko – Cameroon

 Falz – Nigeria
Emtee – Afrika Kusini
 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.