Friday, March 24, 2017

Alichokizungumza Nape Nnauye alipokutana na Waandishi Wa Habari FULL VIDEO

Leo asubuhi ya March 23 2017 taarifa kutoka IKULU ilieleza kwamba nafasi ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amepewa Dr. Harrison

Mwakyembe, baadaye Nape Nnauye alitoa taarifa kuwa atazungumza na Waandishi wa Habari lakini Meneja wa Hotel ambayo mkutano ulitakiwa ufanyike alisema ameagizwa kuwaambia Waandishi watawanyike na hakutakuwa na mkutano.
Saa chache baadae Nape Nnauye alifika eneo hilo na aliongea na waandishi akiwa juu ya gari. Bonyeza play hapa chini kutazama full video ya alichokiongea.





Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.