Sunday, March 26, 2017

Mr.Nay Akamatwa na Polisi Morogoro

Kutoka Morogoro alikokuwa ameenda kwaajili ya show asubuhi hii  amethibitisha kukamatwa na Polisi, 

Msanii huyo wa Bongofleva Nay wa Mitego ambaye hivi karibuni hajasema sababu ya kukamatwa kwake lakini watu wanahisi ni kutokana na wimbo mpya anaodai amezungumza ukweli wa moyo wake kwa kinachoendelea,Wimbo huo uitwao 'Wapo' umemkosoa vikali Rais Dkt John Magufuli.
Nay ameandika kwenye Instagram yake “Nimekamatwa kweli muda huu nikiwa Hoteli Morogoro baada ya kumaliza kazi yangu iliyonileta, napelekwa Movemero Police, Nawapenda Watanzania wote #truth #Wapo”

Share:

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.