Sunday, September 24, 2017

Dreva wa Lissu Asema Hana Kumbukumbu Vizuri Kwa Kilichotokea Kwenye Shambulio Dhidi ya Lissu


Dereva wa Lissu ambaye ndiye mtu pekee waliyekuwa wote si ya tukio hilo, Simon Bakari naye alizungumza kwa mara ya kwanza kuhusu tukio hilo na kudokeza kwamba limevuruga na hana kumbukumbu sahihi.

Dereva huyo ambaye naye anaendelea kupatiwa matibabu ya kisaikolojia katika hospitali hiyo ya Nairobi alisisitiza, “Kwa sasa siwezi kuzungumza vizuri tukio hili kwani nadhani sina kumbukumbu vizuri.”

CHANZO GAZETI LA MWANANCHI
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.