STAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford mchana huu amefunga ndoa na Rashidi Said ‘Chidi Mapenzi’.
Shamsa Ford Staa wa filamu anafunga ndoa na mfanyabiashara wa nguo, Chidi Mapenzi.nyumbani kwao Sinza Afrikasana jijini Dar es salaam.Tunawatakia kheri na baraka katika ndoa yao.
Shamsa Ford Staa wa filamu anafunga ndoa na mfanyabiashara wa nguo, Chidi Mapenzi.nyumbani kwao Sinza Afrikasana jijini Dar es salaam.Tunawatakia kheri na baraka katika ndoa yao.
Bongo Movies
0 comments:
Post a Comment