Thursday, March 9, 2017

Sheria ya Marehemu Kurithisha Moyo, Figo Kuandaliwa


Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inaandaa mapendekezo ili kuyapeleka bungeni yaridhiwe na kupitishwa sheria itakayoruhusu mtu kuandika wosia wa viungo vyake kutumika baada ya kufariki dunia.


Sanjari na hilo, kwa sasa inatararajia kuanza upasuaji wa kupandikiza moyo kwa wagonjwa wenye matatizo hayo nchini. Mkurugenzi wa Upasuaji na Daktari Bingwa wa Moyo na Mishipa ya Damu, Dk Bashir Nyangasa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam jana alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusu malengo ya taasisi hiyo.

“Tuko katika maandalizi ya kuandaa mapendekezo kwa ajili ya kupeleka Bungeni ili Bunge liridhie na kupitisha sheria itakayoruhusu mtu kuandika wosia wa viungo vyake kutumika mara baada ya kufariki ikiwamo moyo na figo,” alisema Dk Nyangasa.
Alisema kuwa umefika wakati kwa Watanzania kujiwekea utaratibu wa kuacha wosia wa kutumika kwa viungo vyao baada ya kufariki kwa ajili ya kuhifadhiwa kwenye benki za viungo ili viweze kutumiwa na watu ambao watavihitaji.
Dk Nyangasa alisema Hospitali ya Apolo Bangalole ya India na nyingine za kimataifa za magonjwa ya moyo kwa sasa zimehamia JKCI kutokana na kuwapo kwa huduma pamoja na vifaa vya kisasa.

Naibu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba na Daktari Bingwa wa Magonjwa wa Moyo, Dk Tulizo Shemu alisema mwaka 2016 JKCI ilifanya uchunguzi wa tiba kwa wagonjwa 973 na kati yao 620 walipata matibabu bila kufunua vifua kwa kupitia mishipa ya damu, huku 353 wakifanyiwa upasuaji wa kufungua vifua.
Taasisi hiyo inategemea kuwa na kambi maalumu ya matibabu ya moyo kwa kushirikiana na Open Heart International ya Australia kuanzia kesho.
Share:

Diamond Platnumz_Wasafidotcom

Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz ametumia ukurasa wake kuwahabarisha wapenzi wa muziki kuhusiana na Wasafidotcom ambao ni mtandao mpya wa kuweza kununua nyimbo za wasanii wa Tanzania na nje ya Tanzania.

THE POST
Habari Mashabiki zetu pendwa…tunayo furaha kukupa habari njema ya kwamba kuanzia sasa @wasafidotcom ndio sehemu rasmi na pekee ya kuweza kujipatia Nyimbo za wasani wako wote pendwa toka hapa nchini Tanzania nje ya Tanzania…lengo kuu la kuanzisha mtandao huu ni kuweza kuwarahisishia Mashabiki na wadau wa mziki wetu muweze kujipatia kazi za wasani wenu zikiwa zina Quality ama ubora sahihi, kirahisi na haraka…lakini pia kutusapot vijana ama watoto wenu nasi tuweze kuendelea kuwatengenezea kazi zenye ubora zaidi….

Lakini pia sababu nyingine ya kuamua kuanzisha mtandao huu ni jinsi mlivyokuwa mnatusapoti vijana wenu kwa kununua kazi zetu halaf mwisho wa siku baadhi ya wamiliki wa mitandao wakawa hawatupi haki zetu tunayostahili, yaani wakawa wanatudhurumu na kunufaika wao huku sie wasanii wenu tukiishia kuambulia umaarufu wa majina ila maisha yetu halisi “pangu pakavu”…hii ilituumiza na kutuliza sana, karibu miaka yote…..kwenye mtandao huu wa @Wasafidotcom tumeeka njia mbalimbali rahisi za kununua nyimbo, kupitia account ya simu yani Mfano: Vodapesa na mitandao yote ya simu Afrika, na pia kununua kwa njia ya Card ya Benki mfano: Master Card, Credit card, Visa card na njia zote za kibenki…. Matumaini yetu kuwa mtatusapoti kwa kununua kazi zetu @wasafidotcom….
na panapo majaaliwa kwa mara ya kwanza ijumaa ya kesho @Harmonize ataachia wimbo wake mpya Uitwao #NAMBIE na utakuwa unapatika @Wasafidotcom tu …. nitasikitika sana sana nikiona ama kusikia shabiki yetu wa damu ama mpemda muziki, anakuwa mtu wa kwanza kuomba kutumiwa nyimbo kwa bloototh ama Watsup badala ya kuingia @wasadidotcom kudownload….. kesho hiyohiyo pia kutakuwa Rasmi na App pamoja na nyimbo za wasanii wengine zaidi uwapendao…. @Wasafidotcom#WhereTheHitsBelong !!!!!! Mie nimewaekea ngoma zooote za tangu kale na zingine ambazo hamjawai kuskia, follow account Rasmi ya @Wasafidotcom ubonyeze link kwa bio ukapakue nyimbo uzitakazo
Share:

Tuesday, February 28, 2017

HOW DRINKING BEER CAN HELP YOU LOOSE WEIGHT;

A new study from Oregon State University has found out that beer can help you in losing weight. This is through xanthohumol, a flavor found in beer, that helped mice lose weight and lower their bad cholesterol levels.


48 mice had been split into two groups then fed high fat diets but one group was given 30-60 milligrams of xanthohumol per kg of body weight every day for around 12 weeks. The other group was not given this item.





The mice which were given the xanthohumol had their bad cholesterol levels go down by around 80% while their weight gain was 22% less than the other group. This proves that xanthohumol can actually prevent you from gaining too much weight.

Wait don’t celebrate yet….

If you weigh 10 stone/63kg/140lb you will need to drink around 3500 pints of beer (1988 litres) within the 24 hours to get the human equivalent of the amount the mice were given.



Drug companies are already researching on how to bring a pure version of xanthohumol so as to create a weight loss pill.

WARNING;
Drinking beer can cause memory loss. It does not make you fat, it makes you lean ...against bars, tables and chairs.

Drink Responsibly!

Thank You!
Share:

9 THINGS THAT YOU DO THAT DAMAGE YOUR BRAIN

There are certain things you do everyday that could be damaging your brain gradually;



Check them out below;
  1. NOT EATING IN THE MORNING
Not eating in the morning isn’t good for the brain because it deprives your brain of nutrients it needs.
  1. WORKING WHILE YOU ARE SICK
When you are sick, it is advisable you get enough rest because the brain overwork itself if you work while you are sick.
      3. NOT USING YOUR BRAIN
      
Lack of use makes the brain dull. When you don’t put your brain to use by thinking, you can gradually become dumber.
  1. SMOKING
 Smoking isn’t good for the brain because according to a study by McGill University, smoking causes thinning of the cortex over time.
  1. NOT DRINKING ENOUGH WATER
Not drinking enough water isn’t good for the brain because dehydration causes cells in the brain to shrink.
  1. OVEREATING
Eating too much isn’t good for the brain. When you eat too much, you confuse the brain and this could cause an imbalance in insulin production. The imbalance in insulin production can cause hardening of arteries which leads to a decrease in mental function over time.
  1. INADEQUATE SLEEP
You should ensure you get adequate sleep regularly because a lack of sleep slows down the brain.
  1. STRESS
Stress isn’t good for the brain. When you are stressed, cortisol is produced which can kill the brain cells if produced in excess.
  1. EXCESS SUGAR
Excess sugar consumption isn’t good for the brain as it weakens your memory and learning capabilities.


Your health is like a flower, the root of all health is in the brain. The trunk of it is in emotion. The branches and leaves are the body. The flower of health blooms when all parts work together.

Thank you!
Share:

Monday, February 27, 2017

12 THINGS TO ALWAYS REMEMBER



1.      The past cannot be changed
2.     Opinions don’t define your reality
3.      Everyone’s journey is different
4.     Things will always get better with time
5.      Judgements are a confession of character
6.      Overthinking will lead to sadness
7.      Happiness is found within
8.      Positive thoughts create positive things
9.     Smiles are contagious
10. Kindness is free
11. You only fail if you quit
12. What goes around, comes around 

Focus

Meditate
Stay low-key
Grow spiritually

Share:

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.