Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro
amezungumzia vurugu zilizotokea hivi karibuni katika mkutano uliotakiwa
kufanyike na maeneo ya Mabibo na Chama cha wananchi CUF. Kamanda huyo amesema
kuwa suala hilo na wale waliojeruhiwa upelelezi utasema kama hao watu ndiyo
waliokuja kuvamia au la.
Tuesday, April 25, 2017
‘Mazoea’ Imeniingizia Hela Kuliko Nyimbo Zangu Zote – Billnass
Diamond ataja sababu ya kumshirikisha Young Killer
Ni mara nyingi hitmaker huyo wa Marry You, ameonekana kushindwa
kuzizuia hisia zake za kumkubali Msodoki huku mara kadhaa akionekana
kutumia mistari ya rapper huyo katika kuandika katika mitandao yake ya
kijamii.
Saturday, April 15, 2017
HAPPY EASTER; REACH OUT TO YOUR POTENTIAL
When you look at the sea waves, you see two different kinds
of waves. Some waves tend to meet and cuddle to make a much bigger wave.
Other waves meet vigorously and crumble, destroying themselves. What do we
learn from that?
In life, people may cuddle or crumble. You may have friends
who support you, and others may destruct you from using your potentials ending
up destroying yourself. There are also others who may use your potential to
benefit themselves.
Potential is something in a person that is yet to be done. It
is that ability in a person that is yet to be shown to the world. Don’t be so
proud of what you have already done for it is not your potential and if you do
so you will be blinded and not be able to see what is still there to be done.
You are not there yet, so keep up the struggle and always
seek to identify your potential. People are sometimes important in discovering
your potential but you should not rely on them since the only one who knows
your full potential is the one who created you. Grow spiritually!
We should all learn
to live our lives to the fullest that is when we will realize the actual
happiness that lies in it.
Learn to cuddle with people, and if it happens you did
crumble… don’t lose it but look upon the rest of your friends you did cuddle
with.
Today’s Youth wishes each
one of you Happy Easter. Celebrate it with a heart filled with
full of love and peace. Have a blessed one!
Thank You!
Friday, April 14, 2017
Polisi 7 Wauawa Katika Shambulio La Kutisha Pwani
Polisi takriban saba wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi huko Mkuranga mkoani Pwani.
Taarifa za awali zimedai kuwa polisi hao walikuwa wakijianda kutoka doria ya barabarani na kurudi kituoni. Vyanzo vimedai kuwa majambazi hayo yalilishambulia gari walimokuwa kwa kumpiga risasi dereva na gari kupinduka kabla ya kuwamiminia risasi polisi sita na kuwaua pale pale.
Bunduki walizokuwa nazo aina ya SMG zimeporwa. Taarifa zingine zimedai kuwa mauaji hayo yamefanywa na mtu mmoja aliyekuwa na silaha nzito.
Raymond Afurahia Alikiba Kuuzimikia Wimbo Wa Kwetu
Alikiba alijikusanyia pointi tatu mapema wiki hii kutoka upande wa hasimu wake Diamond baada ya kuonekana akiimba wimbo wa Raymond ‘Kwetu’.
Akiongea na kipindi cha Dj Show cha Radio One, kitendo hicho kimeonyesha kumfurahisha kinda huyo
Site Users
Popular Posts
Topics
News
(108)
Artists
(83)
Local
(45)
Views
(41)
Music
(38)
International
(36)
Relationships
(34)
Universities
(28)
Sports
(25)
Sports Stars
(25)
Business
(14)
Life Style
(14)
Actors
(10)
OFFclass
(10)
Entrepreneur
(9)
Events
(9)
Health
(9)
Hustles
(9)
Who Hit A Lottery?
(7)
Fashion
(4)
High Schools
(4)
Movies/TV Series
(4)
Talent
(3)
Education
(1)
Tech
(1)
Archive
-
▼
2017
(182)
- November 2017 (2)
- September 2017 (20)
- August 2017 (46)
- July 2017 (6)
- June 2017 (2)
- May 2017 (1)
- April 2017 (45)
- March 2017 (51)
- February 2017 (8)
- January 2017 (1)
-
►
2016
(94)
- December 2016 (1)
- November 2016 (3)
- October 2016 (22)
- September 2016 (68)














