Tuesday, April 25, 2017

Kamanda Sirro Afafanua Upelelezi Katika Uvamizi Wa Mkutano Wa CUF


Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro amezungumzia vurugu zilizotokea hivi karibuni katika mkutano uliotakiwa kufanyike na maeneo ya Mabibo na Chama cha wananchi CUF. Kamanda huyo amesema kuwa suala hilo na wale waliojeruhiwa upelelezi utasema kama hao watu ndiyo waliokuja kuvamia au la.
Share:

Saturday, April 15, 2017

HAPPY EASTER; REACH OUT TO YOUR POTENTIAL

When you look at the sea waves, you see two different kinds of waves. Some waves tend to meet and cuddle to make a much bigger wave. Other waves meet vigorously and crumble, destroying themselves. What do we learn from that?

In life, people may cuddle or crumble. You may have friends who support you, and others may destruct you from using your potentials ending up destroying yourself. There are also others who may use your potential to benefit themselves.

Potential is something in a person that is yet to be done. It is that ability in a person that is yet to be shown to the world. Don’t be so proud of what you have already done for it is not your potential and if you do so you will be blinded and not be able to see what is still there to be done.

You are not there yet, so keep up the struggle and always seek to identify your potential. People are sometimes important in discovering your potential but you should not rely on them since the only one who knows your full potential is the one who created you. Grow spiritually!

We should all learn to live our lives to the fullest that is when we will realize the actual happiness that lies in it.
Learn to cuddle with people, and if it happens you did crumble… don’t lose it but look upon the rest of your friends you did cuddle with.

Today’s Youth wishes each one of you Happy Easter. Celebrate it with a heart filled with full of love and peace. Have a blessed one!


Thank You!
Share:

Friday, April 14, 2017

Polisi 7 Wauawa Katika Shambulio La Kutisha Pwani

Polisi takriban saba wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi huko Mkuranga mkoani Pwani.

Taarifa za awali zimedai kuwa polisi hao walikuwa wakijianda kutoka doria ya barabarani na kurudi kituoni. Vyanzo vimedai kuwa majambazi hayo yalilishambulia gari walimokuwa kwa kumpiga risasi dereva na gari kupinduka kabla ya kuwamiminia risasi polisi sita na kuwaua pale pale.
Bunduki walizokuwa nazo aina ya SMG zimeporwa. Taarifa zingine zimedai kuwa mauaji hayo yamefanywa na mtu mmoja aliyekuwa na silaha nzito.
Share:

Copyright © TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.