Kazi mpya ya rapper na mtangazaji wa East Africa Radio, JR Junir akimshirikisha Nay wa Mitego. Inaitwa Mapichapicha na imetayarishwa na Mona Gangster.
...
Home » September 2016
Thursday, September 29, 2016
Tecno wazindua Phantom 6 na Phantom 6 Plus zinazoleta mapinduzi ya teknolojia

Kampuni inayoongoza kwa mauzo ya simu Afrika, Tecno Mobile imezindua simu mbili matata za Phantom 6 na Phantom 6 Plus katika tukio lililohudhuriwa na watu maarufu kibao katika hoteli ya Armani ambayo ipo katika jengo refu zaidi duniani Burj Khalifa.
Uzinduzi huu umefanyika wakati ambapo kampuni ya...
Diva: Mastaa wa Bongo waelewe thamani yao, mimi nachaji milioni 3.5 kwa appearance tu

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amewataka mastaa wa Tanzania kutambua thamani ya brand zao na kuacha kujichukulia poa.
Amedai kuwa mastaa wengi wamekuwa wakitumika bure kufaidisha watu wengine na anadhani ni muhimu wakaacha kujishusha kiasi hicho.
Anadai kwa upande wake yeye, hafanyi...
Nas B ft Baridi Band – Tunatumia VIDEO
Msanii wa muziki, Nas B ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Tunatumia’ akiwa amemshirikisha Baridi Band. Video imeandaliwa na director, Jukya.
...
Kevin Hart aongoza orodha ya wachekeshaji wanaolipwa zaidi duniani

Forbes wametoa orodha mpya ya wachekeshaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani. Kevin Hart ndiye anayeongoza orodha hiyo akiwa amelipwa kiasi cha $87.5 milioni kuanzia mwezi Juni mwaka mpaka kufikia Juni mwaka huu.
Nafasi hiyo kwa muda mrefu imekuwa ishikiliwa na Jerry Seinfeld ambaye kwa sasa...
Donald Trump akasirishwa na wasaidizi wake kukiri kuwa alibwagwa na Clinton kwenye mdahalo wa kwanza

Donald Trump anaamini kuwa alifanya vizuri kwenye mdahalo wa kwanza dhidi ya Hillary Clinton – lakini kura zinasema tofauti, hata wasaidizi wake pia wanaamini kuwa alikula za uso!
Kinampa hasira kuona kuwa wasaidizi na washauri wake wanakubali maneno ya vyombo vya habari kuwa hakufanya vyema...
Nuh Mziwanda azinguana na uongozi wake, adai viongozi wanataka umaarufu kuliko kazi

Mkali wa wimbo ‘Jike Shupa’ Nuh Mziwanda amezinguana na uongozi wake ambao alikuwa anafanya nao kazi kwa madai umeshindwa kufanya kazi aliyoitaka
Mapema mwaka huu Petit Man alimchukua msanii huyo na kuamua kumsimamia ikiwa ni wiki chache toka aachane na wasanii wa Endless Fame ya Wema Sepetu.
Nuh...
Tuesday, September 20, 2016
Sina mpango wa kutoa album Asema Dully Sykes

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes amesema hafikirii kutoa album kabisa kwa siku za usoni kwasababu anaamini hazina faida kama zamani.
Akiongea na Planet Bongo ya EATV Dully alisema album zilikuwa zinaingiza pesa kipindi kile yeye anaanza kufanya muziki.
“Album zilikuwa zina...
Brown Mauzo Ft Alikiba – Nitulize
Msanii Brown Mauzo kutoka nchini Kenya ameachia wimbo mpya unaitwa “Nitulize” amemshirikisha King kutoka Tanzania Alikiba, Studio Combination Sound....
Serengeti Boys kuweka kambi nje nchi

Baada ya kuifunga Congo-Brazzaville mabao 3-2 katika mchezo wa kwanza kuwania nafasi ya kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika, timu ya taifa ya vijana, Serengeti inatarajiwa kuondoka Alhamis wiki hii kwenda kupiga kambi nje ya nchi.
Hata hivyo, taratibu zinapangwa kuhakikisha kwamba timu hiyo inakwenda...
Monday, September 19, 2016
Pogba awapa moyo mashabiki wake wa Manchester United

Mchezaji ghali zaidi duniani kwa sasa Paul Pogba wa Manchester United amelazimika kuwapa moyo mashabiki wake baada ya timu yake kupoteza mechi mbili mfululizo
Jumapili, Septemba 18 ilishuka dimbani kucheza mchezo wake wa tano wa ligi kuu ya England dhidi ya Watford na kufungwa magoli 3-1....
Jux asema hapendi kuona msanii anajichukulia poa kwenye mwonekano

Msanii wa muziki Jux amesema mwonekano mzuri kwa msanii ni kitu muhimu ambacho kinamjenga msanii kujiamini pamoja na kuwa tofauti na wale anaowapa huduma
Akiongea na Clouds TV wiki hii, Jux amesema hapendi kuona msanii anashindwa kujali mwonekano wake.
“Sometime hata mimi mwenyewe sipendi kuona...
Bushoke - Ushauri wa mashabiki hunijenga sana

Bushoke amedai kuwa ushauri kutoka kwa mashabiki hasa ule anaoupata kwenye mitandao ya kijamii humjenga.
Hivi karibuni ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘Mpita Njia’ ambao anadai kuwa mashabiki wengi wamempongeza. Akiongea na Bongo5 Bushoke amesema huwa anapenda kusoma sana koment za mashabiki wake...
Lulu adai sasa anahitaji kupata mtoto

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth ‘Lulu ‘ Michael amedai kuwa anahitaji mtoto kwa sasa.
Muigizaji huyo ameandika ujumbe kwenye mtandao wake wa Instagram akimuomba Mungu huku akidai kuwa yupo tayari kwa sasa na anahitaji mtoto.
“Okay…I’m ready noooowand I want a Baby BoyIn Jesus Name,” ameandika...
Idris Sultan kuwania nafasi ya kuhost tuzo za MTV MAMA 2016

Mshindi wa shindano la Big Brother 2014, Idris Sultan ameingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwa mmoja kati ya wachekeshaji watakao host kwenye tuzo za MTV MAMA 2016.
Kupitia mtandao wa Instagram wa MTV wameandika, “Would...
Tuesday, September 6, 2016
All The Way Up, Diamonds Verse

Diamond Platnumz amejiongezea aka zingine mpya, Jini na Vampire. Jumatatu hii aliachia kipande cha verse kwenye hit single ya Remy Ma na Fat Joe ‘All The Way Up’ kilichoyakuna masikio ya mashabiki wake. Sikiliza hapo chini.
...
Lil Wayne Aitukana Lebo Yake Ya Cash Money Kwenye Shoo!

Lil Wayne ameonesha kuwa bado anaichukia lebo yake ya Cash Money baada ya kuitukana wakati alipokuwa jukwaani kwenye ziara ya Drake ya Summer Sixteen huko Houston, Marekani
“I love y’all, I just want to say I love every single one of you, before noting how he’s been coming to that city since...
Fella Akwama: Juma Nature Hanitaki Anaona Sina Maana’

Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella ameonekana kugonga mwamba juhudi zake za kutaka kurudisha mahusiano yake ya kazi na msanii wake wa zamani wa Kundi la TMK Family, Juma Nature.
Hapo awali Juma Nature alikuwa msanii wa Kundi la TMK Wanaume Family la Mkubwa Fella lakini...
Joh Makini na msanii wa Nigeria, Falz kuungana kwenye Coke Studio Africa msimu wa 4

Msanii wa Hip Hop Bongo, Joh Makini yupo nchini Nairobi, Kenya akiwa ni miongoni mwa wasanii wanne watakaoiwakilisha Tanzania kwenye kipindi cha Coke Studio Africa Season 4.
Huu ni msimu wa pili kwa rapper huyo wa Bongo kushiriki kwenye kipindi hicho. Kwa msimu wa tatu, Joh Makini aliungana na...
Adidas: Pogba Katika Mechi Na Man City Kuvaa Kiatu Maalum (Adidas ACE16 + Purecontrol Viper Pack)

Kiatu hichi ni “Adidas ACE16 + Purecontrol Viper Pack”
Adidas ndio wanamdhamini mavazi ya michezo mchezaji Paul Pogba wametengeneza kiatu maalum kwa ajili ni mchezaji wao.
...
Ben Pol Asisitiza Kuitoa Album Yake Mwaka Huu

Ben Pol amedai kuwa mpango wa kutoa album yake mwaka huu upo pale pale.
Ameiambia Bongo5 kuwa album hiyo imechelewa kutoka kwasababu yeye na uongozi wake wanatengeneza mkakati wa kuipromote na kuiuza ili iende mbali na kumfikia kila shabiki aliyenuiwa.
Hata hivyo muimbaji huyo wa ‘Moyo Mashine’...
Mkhitaryan Hana Uhakika Kama Atacheza Derby

Kiungo wa Manchester United na timu ya Taifa ya Armenia Henrikh Mkhitaryan hana uhakika kama atacheza Manchester Derby baada kuumia katika mechi ya kirafiki dhidi ya Jamhuri ya Czech jumatano iliyopita.
Henrikh Mkhitaryan kupitia akaunt yake ya twitter alipost ujumbe huu
Not sure yet if I’ll...
Site Users
Popular Posts
Topics
News
(108)
Artists
(83)
Local
(45)
Views
(41)
Music
(38)
International
(36)
Relationships
(34)
Universities
(28)
Sports
(25)
Sports Stars
(25)
Business
(14)
Life Style
(14)
Actors
(10)
OFFclass
(10)
Entrepreneur
(9)
Events
(9)
Health
(9)
Hustles
(9)
Who Hit A Lottery?
(7)
Fashion
(4)
High Schools
(4)
Movies/TV Series
(4)
Talent
(3)
Education
(1)
Tech
(1)
Archive
-
►
2017
(182)
- November 2017 (2)
- September 2017 (20)
- August 2017 (46)
- July 2017 (6)
- June 2017 (2)
- May 2017 (1)
- April 2017 (45)
- March 2017 (51)
- February 2017 (8)
- January 2017 (1)
-
▼
2016
(94)
- December 2016 (1)
- November 2016 (3)
- October 2016 (22)
- September 2016 (68)