Friday, March 31, 2017

Thursday, March 30, 2017

Tuesday, March 28, 2017

Sarafu Kubwa ya Dhahabu Yenye Dhamani $4m Yaibiwa Nchini Ujerumani

Sarafu kubwa iliyotengenezwa kwa dhahabu, ambayo ina picha ya Malkia Elizabeth wa Uingereza, ambayo inakadiriwa kuwa na thamani ya $4m (£3.2m), imeibiwa kutoka kwenye makumbusho Ujerumani. Sarafu hiyo kutoka Canada imeandikwa kuwa ya thamani ya $1m, lakini kwa sababu imetengenezwa kwa kilo 100...
Share:

Wanasayansi Mamegundua Mnyama Mwenye Ubongo sawa na Binadamu

Utafiti mpya uliyofanywa na Chuo Kikuu cha New York, Marekani umegundua mnyama mwingine ambaye ana ubongo mkubwa sawa na binadamu ambapo utafiti huo ulionesha jinsi gani mazingira wanayoishi binadamu na Nyani yanavyoshabihiana na kuwafanya kuwa wanyama pekee wenye ubongo ulio sawa kwa ukubwa. Mkuu...
Share:

Bill Nass Afunguka 'Why' Relationship Yake Haiweki Wazi

Je unajua sababu inayomfanya Bill Nass awe msiri katika mahusiano yake? Rapper huyo amefunguka sababu inayomfanya awe hivyo. Akiongea na kipindi cha Bongo Dot Com cha Times FM, hitmaker huyo wa Mazoea amesema alishawahi kuwa katika mahusiano mengi ambayo ambayo hakuwa na bahati nayo. “Nimekuwa...
Share:

Monday, March 27, 2017

Rais Magufuli Apandisha Cheo Maofisa wa Uhamiaji

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewapandisha cheo maofisa sita wa Uhamiaji kuwa makamishna wa Uhamiaji na kuwateua kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi la Uhamiaji. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya...
Share:

Rais Magufuli Aagiza Nay wa Mitego Aachiwe Huru

Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe, amedai kuwa Rais Dkt John Magufuli ameagiza kuachiwa huru kwa Nay wa Mitego Dkt Mwakyembe aaedai kuwa Rais amemuambia amuelezee Nay auboreshe zaidi wimbo huo kwakuwa umegusa masuala muhimu. “Yaani asiondoe kitu chochote, ila...
Share:

Diamond Aringishia Cheni na Pete zake Mpya za Shilingi Milioni 158

Pete na cheni mpya za Diamond Platnumz alizozivaa kwa wakati mmoja zina thamani ya shilingi milioni 158! Hitmaker huyo wa Marry You amepost Instagram picha mbili zikionesha madini hayo kwa kile anachosema kuwainspire mashabiki wake. “Thanks God for my new GOLD & DIAMONDS collection…i never thought...
Share:

Sunday, March 26, 2017

Mr.Nay Akamatwa na Polisi Morogoro

Kutoka Morogoro alikokuwa ameenda kwaajili ya show asubuhi hii  amethibitisha kukamatwa na Polisi,  Msanii huyo wa Bongofleva Nay wa Mitego ambaye hivi karibuni hajasema sababu ya kukamatwa kwake lakini watu wanahisi ni kutokana na wimbo mpya anaodai...
Share:

WE RISE BY UPLIFTING OTHERS

When we learn to connect with nature and people around us, we tend to uplift our potentials. The reason to this is because we tend to push people up and as they grow and become successful, we get repaid with at least the same price. Be grateful to anyone who is in your life, they were meant for...
Share:

Saturday, March 25, 2017

Stan Bakora na Kitale Ufufuo na Uzima Ministries Kwa Askofu Gwajima

Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Ministries, Josephat Gwajima amesema Jumapili hii atatembelewa na wachekeshaji Kitale ‘Mkudesimba’ pamoja na Stan Bakora. Gwajima amekuwa akitamka mara kadhaa kwamba anavutiwa na wachekeshaji hao ambao wamekuwa maarufu kutokana na vichesho vyao ambavyo vilikuwa...
Share:

Timu ya Serengeti Boys Yapata Chanjo

Timu ya Tanzania ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 maarufu kwa jina la Serengeti Boys Machi 24, wamefanyiwa chanjo ya ugonjwa wa manjano (yellow fever) kabla ya kuanza safari ya kwenda Morocco, Cameroon na Gabon. Timu hiyo imefuzu kwa ajili ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa...
Share:

Polisi waanza kumsaka aliyemtolea bastola Mheshimiwa Nape

Jeshi la Polisi limesema limeanza kufanyia kazi maagizo waliyopatiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, kumsaka mtu aliyemtolea bastola aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. Hayo yalisemwa Ijumaa hii na Msemaji wa Jeshi hilo, Advera Senso. Awali, Gazeti...
Share:

Friday, March 24, 2017

Rais Magufuli Baada Ya Kufanya Ziara Ya Kushitukiza Bandari DSM Amekuta Haya

Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli alhamisi ya March 23 2017 amefanya ziara ya kushitukiza katika bandari ya Dar es Salaam, Rais amefanya ziara hiyo akiwa na lengo la kuthibitisha kama maagizo yake ya kusimamia na kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia. Katika...
Share:

Uteuzi Mengine Wa Rais Magufuli Baada Ya Uteuzi Wa Dr. Mwakyembe na Prof. Palamagamba

Asubuhi ya March 23 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli alifanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri kwa kumteua aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Dr Harrison Mwakyembe kuwa waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Huku akimteua...
Share:

Alichokizungumza Nape Nnauye alipokutana na Waandishi Wa Habari FULL VIDEO

Leo asubuhi ya March 23 2017 taarifa kutoka IKULU ilieleza kwamba nafasi ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amepewa Dr. Harrison Mwakyembe, baadaye Nape Nnauye alitoa taarifa kuwa atazungumza na Waandishi wa Habari lakini Meneja wa Hotel ambayo mkutano ulitakiwa ufanyike alisema ameagizwa...
Share:

Wednesday, March 22, 2017

Cristiano Ronaldo Ameshinda Tuzo Yake ya 11 2016/2017

Staa wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Ureno akiwashinda Pepe huku Renato Sanchez akishinda tuzo ya mchezaji bora mwenye umri chini ya miaka 21 Ronaldo ametangazwa mshindi wa tuzo hiyo huku...
Share:

Copyright © 2025 TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.