
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro
amezungumzia vurugu zilizotokea hivi karibuni katika mkutano uliotakiwa
kufanyike na maeneo ya Mabibo na Chama cha wananchi CUF. Kamanda huyo amesema
kuwa suala hilo na wale waliojeruhiwa upelelezi utasema kama hao watu ndiyo
waliokuja...