Tuesday, April 25, 2017

Kamanda Sirro Afafanua Upelelezi Katika Uvamizi Wa Mkutano Wa CUF

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Simon Sirro amezungumzia vurugu zilizotokea hivi karibuni katika mkutano uliotakiwa kufanyike na maeneo ya Mabibo na Chama cha wananchi CUF. Kamanda huyo amesema kuwa suala hilo na wale waliojeruhiwa upelelezi utasema kama hao watu ndiyo waliokuja...
Share:

Saturday, April 15, 2017

HAPPY EASTER; REACH OUT TO YOUR POTENTIAL

When you look at the sea waves, you see two different kinds of waves. Some waves tend to meet and cuddle to make a much bigger wave. Other waves meet vigorously and crumble, destroying themselves. What do we learn from that? In life, people may cuddle or crumble. You may have friends who support...
Share:

Friday, April 14, 2017

Polisi 7 Wauawa Katika Shambulio La Kutisha Pwani

Polisi takriban saba wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi huko Mkuranga mkoani Pwani. Taarifa za awali zimedai kuwa polisi hao walikuwa wakijianda kutoka doria ya barabarani na kurudi kituoni. Vyanzo vimedai kuwa majambazi hayo yalilishambulia gari walimokuwa kwa kumpiga risasi dereva...
Share:

Nuh Mziwanda–Last Born Records Ni Urithi Nitakaouacha Hata Kwa Vizazi Vijavyo

Nuh Mziwanda amesema label yake, Last Born records si kwaajili yake pekee. Amesema hata siku akiwa ametoweka duniani, itaendelea kuwepo na ndio maana anaendelea kukusanya jeshi. “Nataka nikizeeka au nikiwa sipo duniani basi niwe nimeacha watu wa kunikumbuka au vitu ambavyo vitakuwa kwenye historia...
Share:

Rais Magufuli Amempigia Simu Mwana FA

Jioni ya April 12 2017 staa wa muziki wa hip hop bongo Hamisi Mwinjuma ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la Mwana FA, alitoa taarifa kupitia ukurasa wake wa twitter kuoneshwa kufurahisha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kumpigia simu. Mwana FA ambaye...
Share:

Wednesday, April 12, 2017

Tuesday, April 11, 2017

“Demu” Wa Ronaldo Aondolewa Kazini Kwa Sababu Ya Bwana Ake.

Kimwana wa Cristiano Ronaldo imemlazimu kuachana na kazi yake ambapo alikuwa ni meneja mauzo katika kampuni ya Prada. Georgina Rodriguez ambaye alikuwa anapokea kiasi kinachokaribia paundi £1,370 kwa mwezi kwa kamisheni pekee kila mwezi ameamua kuondoka kwenye kiti chake hizo kutokana na rundo...
Share:

Mogae: 'Some Africans leaders spoil their record by overstaying'

Several African leaders have refused to step down after finishing their terms. At a conference in Marrakesh, DW caught up with the former president of Botswana, Festus Mogae, and asked him for his views on this topic. Uganda's President Yoweri Museveni (L), Joseph Kabila of DRC (C) and Rwanda's...
Share:

Monday, April 10, 2017

Maneno 38 Mbunge Halima Mdee ameandika kuhusu Askofu Gwajima

Baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dr. Josephat Gwajima leo April 9, 2017 kumtaka Halima Mdee Mbunge wa CHADEMA kumuomba radhi Spika wa Bunge Job Ndugai kwa maelezo kuwa alimtukana, jioni hii kupitia Twitter ya Mbunge huyo ameandika kuhusu kinachoendelea kati yake na Spika Ndugai. Mdee...
Share:

‘Bunge liahirishwe leo tujadili kuhusu wanaoteka watu’ – Hussein Bashe

Kutoka Bungeni DODOMA, leo April 10, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe amesimama kuomba muongozo kwa Spika wa Bunge akitaka Bunge lisimamishe shughuli za kawaida na kuanza kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea nchini. Bashe amesema yeye pia ameshatumiwa ujumbe wa vitisho...
Share:

Sunday, April 9, 2017

Friday, April 7, 2017

Thursday, April 6, 2017

Linah Ft. Gnako – Mfupi

Msanii Linah ameachia wimbo unaitwa “Mfupi”, akiwa amemshirikisha G Nako. Huu wimbo umendikwa na msanii anaitwa Mr Kesho ambaye anafanya vizuri saivi na ngoma yake inaitwa ‘Nangoja’. Producer Taz Gaem...
Share:

Tuesday, April 4, 2017

Copyright © 2025 TODAY'S YOUTH FOUNDATION | Designed by Francis Ikomba Distributed By Norbert Inc.